Wanaojifungua wahimizwa kutumia kikamilifu likizo ya siku 90

Dar es Salaam. Wanaojifungua  nchini wamehimizwa kutumia kikamilifu muda wa mapumziko wa miezi mitatu baada ya kujifungua ili waweze kuwa karibu na watoto wao katika kipindi muhimu cha mwanzo wa maisha. Wito huo umetolewa wakati kukibainika baadhi ya wanawake, hasa walioajiriwa katika sekta binafsi na wanaojiajiri, wamekuwa wakirudi katika shughuli zao za kazi mapema kabla…

Read More

SMZ kukuza vituo vya michezo Zanzibar 

SERIKALI imesema itakiunga mkono kituo cha Olympafrica Zanzibar kilichopo visiwani hapa kwa kukifanyia maboresho ya miundombinu kwani kinakuza vipaja vya michezo kwa watoto. Hayo yameelezwa na Mtendaji Mkuu wa Ofisi ya Rais Ikulu, Ufuatiliaji na Usimamizi wa Utendaji wa Serikali, Profesa Mohammed Hafidh Khalfan alipotembelea kituo hicho kilichopo Dole, Wilaya ya Magharibi A, Unguja. Profesa…

Read More

Rais Samia ateta na mwakilishi UN

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan, amesema Tanzania imejizatiti kuhakikisha mchakato wa kufuatilia matukio ya maandamano yaliyozaa vurugu Oktoba 29, 2025 unafanyika kwa kuzingatia utawala wa sheria, uwajibikaji na haki. Amesisitiza hayo yanafanyika huku nchi ikiendelea kulinda amani, umoja wa kitaifa na utulivu wa kisiasa ambao umekuwa msingi wa wakati wote wa maendeleo ya…

Read More

Chunya yaweka mikakati kuongeza uzalishaji wa ufuta

Chunya. Halmashauri ya Wilaya ya Chunya mkoani Mbeya, imeweka mikakati madhubuti ya kuongeza uzalishaji wa zao la ufuta kutoka kilo milioni 2.4 zilizozalishwa msimu uliopita hadi kufikia kilo milioni 6, katika msimu wa kilimo wa 2026/2027. Hatua hiyo imechochewa na uamuzi wa halmashauri kugawa tani 6,000 za mbegu bora za ufuta kwa wakulima kupitia Chama…

Read More

Ilichokisema CCM mbele ya mwakilishi wa UN

Dar es Salaam. Chama cha Mapinduzi (CCM) kimesema kitaendeleza dhamira yake ya  muda mrefu wa kuheshimu utawala wa sheria, kidemokrasia na ushiriki wa kisiasa kwa njia za amani. Hayo yamesemwa na Katibu Mkuu wa CCM, Dk Asha-Rose Migiro wakati akikiwakilisha chama hicho katika mazungumzo na Balozi Parfait Onanga-Anyanga, Mwakilishi Maalumu wa Katibu Mkuu wa Umoja…

Read More