Raia wa Iran Walalamikia Hatari ya Kukatika Umeme na Maji
Global Publishers March 23, 2026 0 Comments Raia wa Iran wameanza kuingiwa na hofu kubwa ya kukatika kwa huduma muhimu kama maji na umeme, huku mvutano kati ya taifa hilo na United States ukiendelea kuongezeka. Hofu hiyo imechochewa na kauli ya Donald Trump, ambaye ametuhumiwa na baadhi ya Wairan kwa kuchochea moto baada ya kutishia…