Wataalamu wa fedha SADC wajadili kuongeza bajeti
Dar es Salaam. Wataalamu wa masuala ya fedha kutoka nchi wanachama wa Jumuiya Maendeleo ya Kusini mwa nchi za Afrika (SADC) wamekutana jijini Pretoria nchini Afrika Kusini kujadili hali ya kifedha ya jumuiya hiyo pamoja na mikakati ya kuongeza vyanzo vya mapato ili kuimarisha utekelezaji wa miradi ya maendeleo ya kikanda. Taarifa iliyotolewa na Wizara…