Prisons v Yanga kupigwa Ali Hassan Mwinyi Tabora

Siku moja baada ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kuufungia Uwanja wa Sokoine kwa kukosa sifa ya kuchezewa mechi za mashindano yaliyo chini ya shirikisho hilo, Tanzania Prisons imehamishia mechi yake dhidi ya Yanga mkoani Tabora kwenye Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi. Sokoine umefungiwa jana Machi 8, 2026 ikiwa ni muda mfupi baada ya mechi…

Read More

Huyu ndiye Mojtaba Khamenei, Kiongozi mpya wa Iran

Dar es Salaam. Kifo cha kiongozi mkuu wa Iran, Ali Khamenei, kilichotokea Februari 28, 2026, wakati wa mwezi mtukufu wa Ramadhan, kinaashiria moja ya mabadiliko makubwa zaidi katika historia ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran. Mrithi wake, mwanaye, Mojtaba Khamenei, anawakilisha kwa wakati mmoja mwendelezo na pia mkanganyiko ndani ya mfumo wa mapinduzi ulioanzishwa baada…

Read More

Wabunge Chato, madiwani wanne wafikishwa kortini tuhuma za rushwa

Chato. Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), Mkoa wa Geita imewafikisha mahakamani wabunge wawili wa Chato, Pascal Lutandula (Chato Kusini), Cornel Magembe wa (Chato Kaskazini) na madiwani wanne akiwemo aliyekuwa Mwenyekiti wa Halmashauri ya Chato, Bathoromeo Manunga wakituhumiwa kwa rushwa wakati wa mchakato wa kumpata mwenyekiti wa halmashauri hiyo. Mbali nao, wengine ni…

Read More

Shule Ya Msingi Kiromo Yakarabatiwa Kwa Ufadhili Wa Airtel

Bakari Mahundu March 9, 2026 0 Comments Mkurugenzi Mtendaji wa Airtel Tanzania, Charles Kamoto, ametembelea Shule ya Msingi Kiromo kukagua maendeleo ya mradi wa ukarabati unaofadhiliwa na kampuni hiyo, wenye lengo la kuboresha mazingira ya kujifunzia kwa wanafunzi na walimu. Katika ziara hiyo, viongozi wa Airtel walipata taarifa ya hatua za ukarabati wa miundombinu ya…

Read More