Uwanja wa Mkapa kufungwa kupisha maandalizi AFCON 2027

SERIKALI imetangaza kuufunga Uwanja wa Benjamin Mkapa kuanzia mwezi huu ili kupisha awamu ya mwisho ya ukarabati mkubwa, ikiwa ni sehemu ya maandalizi kuelekea michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) mwaka 2027. Akizungumza katika mahojiano na gazeti la The Citizen, Msemaji Mkuu wa Serikali ambaye pia ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari,…

Read More

Mshambuliaji Mtanzania asimuliwa athari mgogoro Iran

WAKATI hali ya taharuki ikiendelea kuripotiwa katika baadhi ya maeneo ya Mashariki ya Kati kufuatia mshambulizi ya Israel na Marekani dhidi ya Iran, imeripotiwa wachezaji watatu wa Kitanzania wanaokipiga katika ukanda huo wako salama. Wachezaji hao ni mshambuliaji Simon Msuva anayekipiga Al Talaba ya Ligi Kuu Iraq, Clara Luvanga (Al Nassr, Saudia) na Morice Sichone…

Read More

SUNI BHARTI MITTAL ATUNUKIWA TUZO YA MAISHA YA GSMA KWA MAGEUZI YA SEKTA YA MAWASILIANO DUNIANI.

New Delhi, Machi 2, 2026: GSMA imemtunuku Tuzo ya Maisha (Lifetime Achievement Award) Sunil Bharti Mittal, Mwanzilishi na Mwenyekiti wa Bharti Enterprises, kwa kutambua mchango wake mkubwa katika kubadili na kuunda upya taswira ya mawasiliano ya simu duniani pamoja na kupanua wigo wa upatikanaji wa huduma za mawasiliano kwa waendeshaji, serikali, biashara na mabilioni ya…

Read More

Chalamila avalia njuga matukio ya utapeli Dar

Dar es Salaam. Kama wewe sio mwenyeji wa Mkoa wa Dar es Salaam na unataka kununua ardhi, magari au kuchukua mkopo wa fedha, chukua tahadhari, kwani Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, ametaja maeneo hayo kuongoza kwa matukio ya utapeli. Chalamila amesema waathirika wakubwa wa migogoro hiyo ya ardhi mkoani humo ni…

Read More

Mapinduzi ya Kahawa Mbinga Yawanufaisha Wakulima, Wawapongeza Wadau huku Wakiahidi Uzalishaji zaidi.

 Wakulima wa zao la kahawa wilayani Mbinga, mkoani Ruvuma wameonyesha matumaini makubwa na jitihada pamoja na mikakati ya uboreshaji wa kilimo cha zao hilo wilayani humo huku wakiwashukuru wadau mbalimbali likiwemo serikali na shirika lisilo la kiserikali la Hanns R. Neumann Stiftung (HRNS) kwa jitihada zake hususani kwenye utoaji wa mafunzo ya mbinu bora za…

Read More

Shambulio la bomu katika shule ya msingi ya Iran ‘ni ukiukaji mkubwa wa sheria ya kibinadamu’: UNESCO – Masuala ya Ulimwenguni

Makombora hayo yanaripotiwa kuharibu shule ya msingi ya msichana huko Minab, kusini mwa Iran, na kuua karibu 150 na kujeruhi karibu 100. Wanafunzi wengi wanaaminika kuwa miongoni mwa waliofariki. Katika a kauli iliyotolewa kwenye mitandao ya kijamii, UNESCO walionyesha kusikitishwa sana na athari za mashambulizi ya kijeshi, ambayo yaliendelea hadi Jumapili, na kubainisha kuwa wanafunzi…

Read More