Al Ahly Watolewa CAFCL Baada ya Kichapo kutoka Espérance de Tunis
Global Publishers March 22, 2026 0 Comments Mabingwa mara 12 wa Ligi ya Mabingwa Afrika, Al Ahly SC, wameaga rasmi michuano ya CAF Champions League baada ya kupokea kichapo cha mabao 3-2 kutoka kwa Espérance de Tunis katika mchezo wa robo fainali, na hivyo kutolewa kwa jumla ya mabao 4-2. Katika mchezo huo uliokuwa na…