Makamu wa Rais Nchimbi na Waziri Mkuu Washiriki Misa Mazishi ya Kardinali Pengo Pugu, Dar -Video
Global Publishers February 28, 2026 0 Comments Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Emmanuel Nchimbi, na Waziri Mkuu, Mwigulu Nchemba, leo Februari 28, 2026 wameungana na waombolezaji kushiriki Adhimisho la Misa Takatifu ya Mazishi ya Askofu Mkuu Mstaafu wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Marehemu Polycarp Pengo. Misa hiyo inafanyika…