Uwekezaji wa Anga na Reli Waongeza Maradufu Uwezo wa Usafirishaji Mizigo
Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa,akizungumza na waandishi wa habari katika Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar Es Salaam leo Februari 26, 2026. SERIKALI imesema kuwa uwekezaji mkubwa uliofanywa katika sekta ya usafiri wa anga na reli umeongeza kwa kiasi kikubwa uwezo wa ubebaji wa mizigo nchini, huku kila sekta ikiwa na nafasi…