Hekaheka ya kusaka maji kilomita 24 Handeni

Tanga. Wakati maji yakigeuka lulu kwa wakazi wa Mkata Magharibi, wilayani Handeni, mkoani Tanga, kwa Sadick Idd, safari ya kuyafuata imegeuka chanzo cha maumivu na msongo wa mawazo. Idd anasimulia Januari 21, 2026 alipata ajali alipofuata maji kwenye Bwawa la Sua, akiwa na baiskeli iliyobeba madumu matano. “Sikuwa na namna tangu Julai 2025 hatuna maji. …

Read More

Jaji Mutungi amevunja ukimya mgogoro wa CUF

Dar es Salaam. Hatimaye, Msajili wa Vyama vya Siasa, Jaji Francis Mutungi, amevunja ukimya na kuzungumzia uongozi mpya wa Chama cha Wananchi (CUF) unaoongozwa na mwenyekiti, Mirambo Yusuf, huku akitaka wenye manung’uniko kufuata taratibu. Chama hicho kilifanya uchaguzi mkuu wa dharura kuanzia Februari 20, 2026, ili kupata uongozi mpya. Hata hivyo, matokeo ya uchaguzi huo…

Read More

Mastaa Ligi Kuu Bara watabiri Dabi ya Kariakoo

MASHABIKI wa Yanga wanachekelea ushindi wa timu yao wa mabao 5-0 dhidi ya JKT Tanzania, huku wenzao wa Simba wakinuna baada ya suluhu 0-0 mbele ya Dodoma Jiji, lakini baadhi ya wadau wamesema matokeo hayo hayatoi picha ya matokeo ya Dabi ya Kariakoo kutokana na ukweli mechi za watani huwa zina matokeo ya kushangaza. …

Read More

Wapatiwa ‘nyenzo’ kukabili mabadiliko ya tabia  nchi

Njombe. Wananchi wa vijiji saba wilayani Wanging’ombe mkoani Njombe, wamepatiwa miche 700 ya miti kwa lengo la kuwasaidia kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi, hali inayotajwa kuathiri uzalishaji wa mazao na kupunguza tija kwa wakulima wa eneo hilo. Mabadiliko ya tabianchi yameelezwa kuwa chanzo cha ardhi kupoteza rutuba, jambo linalowalazimu wakulima kutumia kiasi kikubwa…

Read More

Kortini akidaiwa kughushi barua za vyuo vikuu

Dar es Salaam. Mkazi wa Kibamba, Hakeem Palangyo, amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, akikabiliwa na mashtaka manne, likiwemo la kugushi barua za vyuo vikuu. Palangyo amefikishwa mahakamani hapo leo, Alhamisi, Februari 26, 2026, na kusomewa kesi yake mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Hassan Makube. Akimsomea shtaka, wakili wa Serikali, Bony Lawrence, amedai kuwa…

Read More

Benki ya NBC Yakabidhi Gari kwa Mshindi wa Kampeni ya Huduma za Kidigitali, Yaendeleza Juhudi za Kukuza Ujumuishaji wa Kifedha

Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) imekabidhi zawadi kuu za kampeni yake ya “Ukigusa Tu, iMOOO” kwa washindi wakubwa watatu wa kampeni hiyo ikiwemo zawadi kubwa ya gari aina Nissan X trail iliyokabidhiwa kwa Bw Salah Ahmed Mohamed mkazi wa jijini Dar es Salaam alieibuka mshindi wa zawadi kuu ya kampeni iliyolenga kukuza ujumuishaji wa…

Read More

Nafasi za Kazi: Site Foreman Wenye Uzoefu wa Miaka 2 Wahitajika Haraka

Global Publishers February 26, 2026 0 Comments 2️⃣ Site Foreman (Civil Building Project) Minimum Qualifications: Bachelor of Science in Building, Construction Management, Civil Engineering, or related field Minimum of 2 years practical site experience in building construction Key Responsibilities: Supervise day-to-day construction activities on site Coordinate labor, subcontractors, and materials effectively Ensure work is executed…

Read More