Julio ashtuka, aomba mechi za kirafiki
JAMHURI Kihwelo ‘Julio’ baada ya kuiongoza Mashujaa katika mechi mbili akiwa kocha mkuu akishinda zote ikiwamo dhidi ya Mtibwa Sugar Ligi Kuu na ile ya Kombe la Shirikisho mbele ya Nkim, ameshtuka kisha kuomba mechi za kirafiki, huku akitoa sababu. Kocha huyo aliyechukua mikoba ya Salum Mayanga hivi karibuni, ameliambia Mwanaspoti kuwa, ameichungulia ratiba ya…