2026
Bandari mpya Kisiwa Mgao itakavyoinua uchumi Kusini
Kelele za malori mazito yaliyokuwa yakibeba makaa ya mawe na mizigo mingine mikubwa zimekuwa sehemu ya maisha ya kila siku kwa wakazi wa Mtwara kwa miaka kadhaa sasa. Lakini hali hiyo inatarajiwa kubadilika kadri ujenzi wa bandari mpya maalumu ya mizigo mikubwa katika Kisiwa cha Mgao unavyoendelea kushika kasi. Mradi huo unaotekelezwa na Mamlaka ya…
Bashiri na Meridianbet Mechi za UEFA Leo
JE, unajua kuwa siku ya leo unaweza ukaibuka na pesa ndefu ukibashiri mechi zako zote na Meridianbet?. Timu zinawania nafasi ya kufuzu hatua ya Robo Fainali zinakungoja. Jisajili sasa. Mechi itakayoanza ni hii ya Barcelona vs Newcastle United huku mechi ya kwanza walipokutana walitoa sare, ambapo vijana wa Hans Flick wakkisawazisha bado dakika za mwaisho…
UCHAMBUZI WA MJEMA: Bila utashi wa kisiasa, tutatwanga maji kwenye kinu juu ya Katiba, sheria
Tangu miaka ya 1990 hadi 2026, Mahakama za Tanzania na ya Afrika ya Haki za Binadamu na Watu (AfCHPR) zimekuwa zikituonyesha wapi kunavuja katika Katiba na sheria zetu, lakini kukosekana kwa utashi wa kisiasa kumefanya tufumbe macho tusione. Ukweli una sifa moja tu, kwamba hata ukiukataa haugeuki kuwa uongo, nami nasema kwa uzoefu nilionao wa…
UZAZI WA MPANGO: KUVUNJA DHANA POTOFU NA KUIMARISHA NAFASI YA VIJANA KATIKA MAENDELEO YA TAIFA
Na Karama Kenyunko Michuzi Tv UZAZI wa mpango si mjadala wa kiafya pekee, bali ni ajenda ya maendeleo ya taifa. Ni nyenzo inayogusa afya ya mama na mtoto, ustawi wa familia, nguvu kazi ya vijana na mustakabali wa uchumi wa nchi. Nchini Tanzania, pamoja na jitihada za serikali na wadau wa maendeleo, bado kuna changamoto…
Qatar Yatoa Onyo Kali kwa Iran Kuhusu Mashambulizi ya Kombora – Video
Global Publishers March 19, 2026 0 Comments Serikali ya Qatar imetoa tamko kali ikilaani mashambulizi yaliyofanywa na Iran dhidi ya vituo vya nishati nchini humo, ikiyataja matukio hayo kuwa “uchokozi wa kishenzi” uliovuka mipaka ya sheria za kimataifa. Katika taarifa iliyotolewa na Wizara ya Mambo ya Nje ya Qatar, taifa hilo limesema mashambulizi hayo ni…
Mbinu za kuokoa mabilioni yanayopotea katika ucheleweshaji wa miradi
Wakati ucheleweshaji wa miradi ya maendeleo inayosimamiwa na taasisi za umma ukiendelea kuwagharimu walipa kodi, wadau wa sekta ya ujenzi wameshauri mbinu mbalimbali za kuepukana na hasara hiyo. Mara kwa mara taarifa za ukaguzi za Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) zimekuwa zikieleza kuwa hasara hiyo inatokana na kutokuzingatia vifungu 14.7(c) na…
Usiposafisha kinywa asubuhi, usiku haya yatakupata
Dar es Salaam. Wakati kesho Ijumaa, Machi 20, 2026 dunia ikiungana kuadhimisha Siku ya Afya ya Kinywa, imeelezwa kuwa, baadhi ya watu bado hawalichukulii kwa uzito unaostahili suala la kutunza meno, fizi na ulimi. Siku hii ilianzishwa mwaka 2013 ikiwa na malengo mbalimbali ikiwamo kuongeza uelewa, kuwa watu wengi duniani walikuwa hawatilii mkazo afya ya…
Namna bora ya kufikiri ili kufanikiwa kifedha
Watu wengi hutamani kufanikiwa kifedha na kufikia maisha yenye ustawi. Hata hivyo, mara nyingi watu hujiuliza kwa nini baadhi ya watu wanafanikiwa sana katika maisha ya kifedha wakati wengine wanabaki katika hali ileile kwa muda mrefu. Ukweli ni kwamba mafanikio ya kifedha hayategemei tu kiasi cha fedha mtu anachopata, bali pia namna mtu anavyofikiri kuhusu…
Umuhimu wa sikukuu kwa biashara ndogo
Ingawa wengi huona kipindi cha sikukuu kama muda wa mapumziko na ibada, nyuma ya pazia kuna gurudumu kubwa la kiuchumi linalozunguka kwa kasi ya ajabu. Katika muktadha wa Tanzania, msimu huu si tu wakati wa kula pilau na kutembelea ndugu, bali ni “mzunguko wa dhahabu” kwa biashara ndogo na za kati (SMEs), hasa zile zilizoko…