Tujifunze kwa Finland utoaji elimu ya fedha

Fikiria mtoto wa miaka 13 tayari anaelewa kuweka akiba, kupanga bajeti, au kujaribu biashara ndogondogo. Katika makuzi ni umri mzuri wa kujenga na kuzoesha kwa urahisi zaidi kuwa sehemu ya maisha ya mtu. Nchi ya Finland utoaji wa elimu ya umezingatia msingi huo, programu maalum kujifunza masuala ya fedha binafsi na kipato kwa vitendo maarufu…

Read More

Nyuma ya pazia mauzo ya ngozi nchini yazidi kupaa nje ya nchi

Thamani ya ngozi mbichi zilizouzwa sokoni imeongezeka kwa asilimia 35.3 na kufikia Sh3.823 bilioni katika robo mwaka ulioishia Septemba 2025, Ripoti ya uchumi wa kikanda ya Benki Kuu (BoT) inaeleza. Ripoti hiyo inayoangazia ufanisi katika robo mwaka ulioishia Septemba 2025 inaeleza kuwa utendaji huo ulichangiwa kwa kiasi kikubwa na jitihada zinazoendelea za serikali kutoa mafunzo…

Read More

Wanawake watakiwa kurasimisha biashara zao

Dar es Salaam. Katika jitihada za kuinua uchumi wa mwanamke na kufungua milango ya masoko mapya, Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS), Ashura Katunzi, amewataka wanawake wajasiriamali nchini kuzingatia viwango na kurasimisha biashara zao ili kujenga uaminifu na kuongeza ushindani sokoni. Amesema biashara nyingi ndogondogo zinakwamishwa na ukosefu wa kuzingatia viwango na kutofanya…

Read More

WANANCHI WA MPANDA KUNUFAIKA NA MRADI WA TACTIC

****** ‎Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa   ya Mpanda, Bw. Gwalusajo Kapande amesema kuwa utekelezaji wa mradi wa Uendelezaji wa Miundombinu ya Miji Tanzania (TACTIC) katika Manispaa hiyo utaleta mabadiliko chanya kwa wana Mpanda na wageni katika utoaji huduma na mahitaji mbalimbali ya usafiri na usafirishaji, mazingira bora ya shughuli za kiuchumi na ongezeko la mapato…

Read More

Marekani Yatoa Onyo la Mwisho kwa Iran Kuhusu Shambulio la Qatar

Rais wa Marekani, Donald Trump, ametoa onyo kali kwa Iran, akisisitiza kuwa taifa hilo litakumbana na hatua kali iwapo litaendelea na mashambulizi dhidi ya miundombinu ya nishati katika eneo la Ghuba, hasa Qatar. Kupitia ujumbe aliouchapisha katika mtandao wa Truth Social, Trump alieleza kuwa Marekani haikuhusika kwa namna yoyote na shambulio la hivi karibuni lililofanywa…

Read More