Serikali yaahidi unafuu wa kodi kwa wenye viwanda bajeti ijayo
Dar es Salaam. Serikali imeahidi kuwa katika bajeti ya mwaka huu itazifanyia kazi changamoto za kikodi zinazolalamikiwa na wafanyabiashara na wenye viwanda kama mkakati wa kuendelea kuvutia uwekezaji wa ndani na kutoka nje ya nchi. Ahadi hiyo imetolewa jijini Dar es Salaam jana Machi 17, 2026 na Naibu Waziri wa Fedha, Laurent Luswetula, wakati wa…