MISITU NI MAISHA: SERIKALI YAZINDUA JUKWAA LA B2B, YASISITIZA UCHUMI ENDELEVU LINDI
Na Mwandishi Wetu, Lindi Serikali imezindua rasmi Jukwaa la Majadiliano ya Biashara kwa Biashara (B2B) likiwa na lengo la kuchochea uwekezaji, kuongeza thamani ya rasilimali za misitu na kuimarisha uhifadhi nchini, huku ikisisitiza kuwa misitu ni msingi wa maisha na uchumi endelevu. Uzinduzi huo umefanyika leo Machi 18, 2026 katika Uwanja wa Ilulu, Manispaa ya…