Polisi Wasisitiza Ubora wa Madereva Kupitia Mafunzo ya Kisasa
Global Publishers March 17, 2026 0 Comments Jeshi la Polisi kupitia kikosi cha Usalama barabarani Mkoani Arusha limetoa mafunzo maalumu ya mfumo mpya wa TEHAMA juu ya usimamizi na usajili wa shule za udereva kwa wakuu wa vyuo na wakufunzi wa vyuo hivyo lengo likiwa ni kupata madereva wenye bora na kupunguza au kuondoa kabisa…