Israel yadai kuwaua vigogo wengine wa Iran, Mojtaba asema…
Waziri wa Ulinzi wa Israel, Israel Katz amesema vikosi vya nchi hiyo vimemuua mkuu wa usalama wa Iran, Ali Larijani, anayechukuliwa kuwa mmoja wa watu wenye ushawishi mkubwa, pamoja na Gholamreza Soleimani, aliyekuwa akiongoza kikosi cha wanamgambo wa kujitolea cha Basij, ambacho kina mchango mkubwa katika usalama wa ndani. Taarifa kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu…