Mwamuzi: Ile ya Dube ni penalti, Bacca alistahili nyekundu
MATOKEO ya 0-0 katika Dar es Salaam Derby kati ya Azam dhidi ya Yanga, mechi iliyochezwa Jumapili Machi 15, 2026, imeiacha na gumzo kubwa kufuatia tukio la dakika ya 90+2 ambapo mshambuliaji wa Yanga, Prince Dube kuangushwa eneo la hatari na beki wa Azam, Fuentes Mendoza, kisha mwamuzi Ally Mnyupe kusema hakuna penalti. Mbali na…