Dk Mwigulu alivyoshughulikia fidia ya mkazi Mpanda
Dar es Salaam. Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba amegeuka mbogo baada ya mkazi wa Mpanda mkoani Katavi, Jonathan Kayanda kumweleza hajalipwa fidia licha ya tathimini kufanyika miaka mitatu iliyopita. Tukio hilo limetokea leo Ijumaa Machi 13, 2026, muda mfupi baada ya kuweka jiwe la msingi la ujenzi wa barabara Kwagira-Karema yenye urefu wa Kilomita 112…