Admin

Utata! Mume Auza Nyumba Mke Na Mtoto Wakiwa Ndani – Video

Global Publishers March 18, 2026 0 Comments Tukio lililozua taharuki kubwa wiki iliyopita katika eneo la Mtoni Mtongani, mtaa wa Nuru, limeibua maswali mazito ya kisheria na kijamii baada ya Athumani Musa kudaiwa kuuza nyumba ya familia bila kumshirikisha mke wake, Neema. Kwa mujibu wa taarifa zilizopatikana, Athumani anadaiwa kufanya uamuzi wa kuuza nyumba hiyo…

Read More

Zoya: Binti wa miaka 14 anayepigania wasichana kubaki shuleni

Dar es Salaam. Methali isemayo “penye nia pana njia” inaakisi vyema safari ya Zoya-Fatimah Dewji (Zoya), msichana mwenye umri wa miaka 14 ambaye ameanza kuchukua hatua madhubuti kukabiliana na hedhi – moja ya changamoto zinazowazuia wasichana wengi nchini Tanzania kuhudhuria masomo kikamilifu. Licha ya kuwa bado ni mwanafunzi, Zoya ameanzisha kampeni iitwayo “Stay in School”…

Read More

TRA United v Yanga mechi za kimkakati

MSAKO wa pointi tatu kwa Yanga unaendelea leo huku ikiwa na wimbi kubwa la mastaa majeruhi ambapo wameongezeka wengine wanne na kufikia sita, baada Clement Mzize na Dickon Job kuwa nje. Yanga inayoongoza msimamo wa Ligi Kuu Bara ikiwa na pointi 36, leo ni mgeni wa TRA United, mechi ikichezwa Uwanja wa Sheikh Amri Abeid…

Read More

Daktari aeleza kitaalamu chanzo majeraha ya mastaa Yanga

KAMA wodi ya wagonjwa sasa huko Jangwani inaelekea kujaa kufuatia idadi ya majeruhi kuongezeka ikiwa ni siku chache tangu kutangazwa kuwa nahodha msaidizi wa kikosi hicho, Dickson Job na Clement Mzize watakuwa nje ya uwanja kwa zaidi ya wiki sita, huku mmoja wa madaktari bingwa akitaja sababu na suluhisho lake. Madaktari wa klabu hiyo wamethibitisha…

Read More