Jifunze Kilimo cha Strawberry Aina, Mbinu na Faida
Strawberry (fukisadi) ni moja ya matunda yanayolimwa kwa faida kubwa, hasa kutokana na mahitaji yake ya soko la ndani na kimataifa. Zao hili hustawi vizuri katika maeneo yenye joto la wastani na linafanya vizuri zaidi likilimwa kwa mfumo wa kisasa kama vile green house. Kwa ujumla, strawberry hukua vizuri katika maeneo yenye mwinuko wa kuanzia…