Admin

Jifunze Kilimo cha Strawberry Aina, Mbinu na Faida

Strawberry (fukisadi) ni moja ya matunda yanayolimwa kwa faida kubwa, hasa kutokana na mahitaji yake ya soko la ndani na kimataifa. Zao hili hustawi vizuri katika maeneo yenye joto la wastani na linafanya vizuri zaidi likilimwa kwa mfumo wa kisasa kama vile green house. Kwa ujumla, strawberry hukua vizuri katika maeneo yenye mwinuko wa kuanzia…

Read More

Wadau Washangazwa na Ukaribu wa Diamond na Lulu Diva

Global Publishers March 24, 2026 0 Comments Msanii nyota wa Bongo Fleva na Mkurugenzi Mtendaji wa WCB Wasafi, Diamond Platnumz, Machi 23, 2026 amezua gumzo mitandaoni baada ya kumpongeza Lulu Diva katika siku yake ya kuzaliwa kwa ujumbe ulioonekana kuwagusa wengi. Kupitia comment aliyoiandika kwenye picha za Lulu Diva, Diamond alimtakia maisha marefu na yenye…

Read More

Serikali Yazindua Mtumiaji App Kuimarisha Mawasiliano na Kulinda Watumiaji Nchini

Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Agellah Jasmine Kairuki, amezindua rasmi mfumo wa kidijitali wa kuhudumia watumiaji wa huduma za mawasiliano ujulijanao kama Mtumiajiapp ulioandaliwa na TCRA-CCC , leo Tarehe 23/03/2024 katika ukumbi wa Millennium Towers uliopo jijini Dar es Salaam. Uzinduzi huo umehudhuriwa na wadau wa sekta ya mawasiliano pamoja na wananchi mbalimbali….

Read More

Fanya Hivi Kama Unaona Mpenzi Wako Hamuendani!

NI Jumanne nyingine tunakutana kwenye eneo letu la kupeana elimu ya uhusiano. Ulimwengu huu ni mzuri kama utampata mtu sahihi. Mtu ambaye mnapendana kwa dhati na hakuna hata mmoja wenu ambaye anamsumbua au kumyanyasa mwenzake.  Kizazi cha sasa kimetawaliwa na ugomvi, usaliti, tamaa na kila aina ya mambo mabaya. Bahati mbaya sana hata wale walioko…

Read More

“Katika Mkutano wa Kwanza wa Bahari Yetu barani Afrika, Jaribio la Utashi wa Ulimwenguni juu ya Ulinzi wa Bahari Kuu na Uchimbaji wa Madini ya Bahari Kuu” – Masuala ya Ulimwenguni

Maoni na James Alix Michel (victoria, visiwa vya Shelisheli) Jumatatu, Machi 23, 2026 Inter Press Service VICTORIA, Shelisheli, Machi 23 (IPS) – Wakati Mkutano wa 11 wa Bahari Yetu utakapofunguliwa huko Mombasa na Kilifi, Kenya, kuanzia Juni 16-18, 2026, itakuwa ni mara ya kwanza kwa mkutano huu wenye ushawishi mkubwa kufanyika katika ardhi ya Afŕika….

Read More

Diwani Ndule Ashukuru Global TV Kusaidia Kurejesha Mwili wa Veronika Nyamwendo – Video

Global Publishers March 24, 2026 0 Comments Diwani wa Kata ya Vighawe, Mpwapwa mkoani Dodoma, Emmanuel Ndule ameishukuru Global TV kwa jinsi ilivyosimamia suala la mwili wa Mtanzania Veronika Nyamwendo aliyefariki dunia akiwa Oman, unarudishwa nchini na kwenda kuzikwa kijijini kwao. Amesema Global TV inasaidia wanyonge na kuiomba serikali iangalie namna ya kuishika mkono. Pia…

Read More