Admin

Israel Yashambulia Makao Makuu ya Jeshi la Iran mjini Tehran

Global Publishers March 4, 2026 0 Comments Jeshi la Ulinzi la Israel (IDF) limethibitisha mashambulio dhidi ya makao makuu ya kijeshi ya Iran mjini Tehran, huku Qatar ikipata mashambulio ya makombora mawili ya masafa marefu, bila kuarifiwa kuhusu majeruhi. Msemaji wa IDF, Avichay Adraee, amesema kwamba mashambulio hayo yamelenga makao makuu ya Basij, kikosi cha…

Read More

Dickson Job nje miezi miwili Yanga

KOCHA Mkuu wa Yanga, Pedro Goncalves, amethibitisha kwamba, nahodha msaidizi wa kikosi hicho, Dickson Job, hatakuwa sehemu ya mechi ya kesho Alhamisi dhidi ya Singida Black Stars kufuatia kuumia enka. Kwa mujibu wa Pedro, Job aliyeumia enka katika Dabi ya Kariakoo dhidi ya Simba iliyomalizika kwa timu hizo kushindwa kufungana wikiendi iliyopita, anatarajiwa kuwa nje…

Read More

MAKATBU WAKUU SADC WAPITIA MPANGO WA MAENDELEO WA KANDA. WABAINI CHANGAMOTO ZA UTEKELEZAJI

:::::::::: Kikao cha Makatibu Wakuu na Maafisa Waandamizi wa Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) kupitia utekelezaji wa Mpango Mkakati Elekezi wa Maendeleo ya Kikanda (Regional Indicative Strategic Development Plan- RISDP) kimeanza leo tarehe 04 Machi 2026 jijini Pretoria, Afrika Kusini. Ujumbe wa Tanzania katika kikao hicho cha utangulizi kuelekea Mkutano…

Read More

Iran yashambulia kituo cha CIA Saudi Arabia

Riyadh. Kituo cha CIA kilichopo ndani ya ubalozi wa Marekani mjini Riyadh, kimeripotiwa kushambuliwa na droni zinazodaiwa kutoka Iran, katika tukio linaloashiria kuongezeka kwa mvutano wa kijeshi katika Ukanda wa Ghuba. Kwa mujibu wa vyanzo vya Saudi Arabia, droni mbili zilidondoka karibu na eneo la ubalozi na kusababisha moto mdogo pamoja na uharibifu wa mali,…

Read More