Admin

Mali zinavyowatoa roho wanandoa | Mwananchi

Canada. Kuna visa vinavyozidi kuongezeka ambapo wanandoa hutoana roho kisa mali. Japo tutakachojadili hapa si kipya, kuna mafunzo mapya tunaweza kutoa kutokana na ama uzoefu wetu au wenu. Hivi karibuni,visa vya wanadoa kutoana uhai juu ya mali vimezidi kushamiri. Si kwamba havikuwepo, vilikuwapo ila siku hizi vimezidi. Hii ni kutokana na utandawazi na uelewa wa…

Read More

Fanya haya ukikutana na mwenza ‘uliyemmis’

Dar es Salaam. Dakika chache za mwanzo mnapokutana na mwenza wako baada ya kutengana kwa muda, hata kama si mrefu, zina umuhimu mkubwa katika kuimarisha au kudhoofisha uhusiano wenu. Huenda mwenza wako alikuwa kazini au safarini, na kwa muda huo ukawa ukimkosa au hata hisia hizo zikaanza kupoa. Unapokutana naye tena iwe ni uwanja wa…

Read More

TRA United yaitibulia Singida, yavunja benchi la ufundi

MUDA mchache baada ya leo Aprili 5, 2026 Singida Black Stars kupokea kichapo cha mabao 2-0 kutoka kwa TRA United katika mechi ya Ligi Kuu Bara, Walima Alizeti hao wamevunja benchi lote la ufundi. Taarifa iliyotolewa na uongozi wa klabu hiyo, imesema umefikia uamuzi huo kufuatia mwenendo mbaya wa matokeo yasiyoridhisha katika kipindi cha hivi…

Read More

Pesa za mke zinaweza kuvunja ndoa?

Mwanza. Fikiria hali hii: mke anapata mshahara mkubwa kuliko mume. Je, hiyo ni baraka kwa familia au mwanzo wa migogoro? Kwa miaka ya hivi karibuni, mada hii imezua mjadala mkubwa, hasa kufuatia kazi za kitafiti zinazodai kuwa ndoa ambazo mwanamke ndiye mtoa kipato mkuu,  zinaweza kuwa na hatari kubwa ya kuvunjika. Hata hivyo,  je, ni…

Read More

Mbeya Jiji yaanza tambo Shimisemita

ZAIDI ya wanamichezo 5000 wanatarajia kukutana jijini Mbeya kwa ajili ya kushiriki michuamo ya Shirikisho la Michezo kwa Serikali za Mitaa Tanzania (Shimisemita) itakayoanza Agosti 15 hadi 29 mwaka huu, huku wenyeji Jiji la Mbeya wakitamba kufanya vizuri. Michuano hiyo inatarajia kushirikisha Halmashauri zote 184 hapa nchini na mwaka huu kitaifa itafanyika jijini Mbeya, huku…

Read More

Baba mdogo, mjumbe waibua mapya mauaji ya Linah

Dar es Salaam. Wakati mjumbe wa shina namba sita wa Tawi la Mkwajuni Kata ya Vijibweni, Kigamboni, Aloyce Msiagi akieleza namna mtuhumiwa wa mauaji ya Linah Kabamba alivyomburuza dada yake kutoka koridoni alikofanyia mauaji hadi chumbani, baba mdogo wa marehemu amesema marehemu alimchukua mdogo wake huyo na kuishi naye akimfundisha kazi. Linah ambaye ni mama…

Read More

Kesi za wabunge Chato zaahirishwa, sababu yatajwa

Geita. Kesi mbili zinazowakabili wabunge wawili wa majimbo ya Chato na baadhi ya madiwani, zimeahirishwa baada ya watuhumiwa kushindwa kufika mahakamani kwa sababu mbalimbali. Kesi hizo zinazowahusu Mbunge wa Chato Kusini, Paschal Lutandula na Mbunge wa Chato Kaskazini, Cornel Magembe pamoja na madiwani wanne akiwemo aliyekuwa Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Chato, Bathoromeo Manunga,…

Read More

Kesi za wabunge Chato zaahirishwa, watuhumiwa wakwama kufika mahakamani

Geita. Kesi mbili zinazowakabili wabunge wawili wa majimbo ya Chato na baadhi ya madiwani, zimeahirishwa baada ya watuhumiwa kushindwa kufika mahakamani kwa sababu mbalimbali. Kesi hizo zinazowahusu Mbunge wa Chato Kusini, Paschal Lutandula na Mbunge wa Chato Kaskazini, Cornel Magembe pamoja na madiwani wanne akiwemo aliyekuwa Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Chato, Bathoromeo Manunga,…

Read More