Admin

RC SHIGELA AKABIDHI GARI ZA ZIMAMOTO BUKOMBE

Wananchi wa wilaya ya Bukombe mkoani Geita sasa wanaweza kupumua kwa amani baada ya Serikali ya Awamu ya Sita kukamilisha ahadi yake ya kuimarisha huduma za uokoaji na zimamoto wilayani humo. Katika hafla iliyopambwa na matumaini makubwa, Mkuu wa Mkoa wa Geita, Martin Shigela, amekabidhi magari ya msaada wa zimamoto ambayo yatakuwa mkombozi mkubwa katika…

Read More

Naibu Waziri Mkama Ahimiza Ushirikiano na Uwajibikaji kazini

Na Mwandishi Wetu, WMTH – Mtumba, Dodoma Naibu Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Dkt. Switbert Zacharia Mkama (Mb.), amewatak Watumishi wa Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari kuimarisha ushirikiano kati ya wafanyakazi na Menejimenti ili kuhakikisha haki, motisha na tija vinatimizwa. Amebainisha hayo tarehe 24 Februari, 2026 wakati akifungua Mkutano wa Baraza…

Read More

WAZIRI MKUU AAGIZA WAKANDARASI KULIPA WAFANYAKAZI KABLA HAWAJACHUKULIWA HATUA

  Na, Seif Mangwangi, Michuzi TV, Arusha Waziri mkuu  Dkt.Mwigulu Nchemba amewataka wakandarasi wanaojenga miradi mbalimbali nchini kulipa stahiki za wafanyakazi wao kama walivyokubaliana kabla hatua za kisheria hazijachukuliwa dhidi yao. Akizungumza katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika eneo linalojengwa soko la kisasa la  kilombero baada ya kutembelea mradi wa ujenzi wa stendi na soko…

Read More