Zaidi ya watoto milioni moja Tabora kunufaika na chanjo ya polio
Tabora. Serikali imeanza rasmi kampeni ya chanjo ya ugonjwa wa polio mkoani Tabora inayolenga kuwafikia zaidi ya watoto milioni moja wenye umri chini ya miaka 10, katika jitihada za kuzuia na kutokomeza kabisa ugonjwa huo hatari unaosababisha kupooza kwa viungo. Uzinduzi wa shughuli hiyo umefanyika leo Machi 24, 2026 katika Shule ya Msingi Majengo, Kata…