Diarra anawapiku hapa Manula, Kassali
MAKIPA Djigui Diarra wa Yanga, Aishi Manula (Azam) na Mahamadou Tanja Djibrilla Kassali Djibo (Simba), wameendelea kuonyesha ubora katika mechi mbalimbali hasa za Ligi Kuu Bara, huku viwango vyao vikiwa ni msaada kwa timu zao. Kwa jumla makipa hawa wameokoa hatari 16 zilizodhaniwa zingewanyima cleansheet na kuwaacha waliojaribu kuwafunga wakishika vichwa kutokana na ufundi wao…