Admin

WANACHUO WAFUNZWA NAMNA YA KUEPUKA UDANGANYIFU SOKONI⁸

  Afisa Mlinda Mlaji Mwandamizi FCC Bi.Magdalena Hall,akitoa elimu kuhusu masuala ya kumlinda mlaji na mikataba ya walaji kwa wanafunzi wa Chuo Cha Ufundi Stadi VETA Kibaha ,ikiwa ni sehemu ya maandalizi kuelekea kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Haki za Mlaji Duniani 2026. …. KATIKA harakati za kuimarisha uelewa wa haki za walaji nchini, Tume ya…

Read More

Refa Aliyeinyima Yanga Penati Afungiwa Mizunguko Mitatu

Global Publishers March 20, 2026 0 Comments Mwamuzi Ally Mnyupe kutoka Morogoro amefungiwa kuchezesha mechi kwa mizunguko mitatu (3) baada ya kushindwa kutafsiri ipasavyo sheria za mpira wa miguu katika mchezo kati ya Azam FC na Yanga. Katika mchezo huo uliochezwa kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa na kumalizika kwa sare tasa, mwamuzi huyo alishindwa kutoa…

Read More

Siri ya Uteuzi wa Askofu na Mamlaka kutoka Vatican

Pope Leo XIV Kanisa Katoliki, uteuzi na usimikaji wa askofu ni mchakato wa kina unaozingatia misingi ya kiroho, nidhamu ya kanisa na utaratibu wa kimamlaka. Hatua hizi huanzia ngazi ya chini kabisa ya dayosisi hadi kufikia mamlaka ya juu kabisa ya kanisa iliyoko Vatican City. Mchakato huanza pale nafasi ya askofu inapokuwa wazi, iwe ni…

Read More

Faida za Maji ya Nazi kwa Wagonjwa wa Gauti Unazopaswa Kujua

Gout ni ugonjwa wa kimetaboliki unaosababishwa na kuongezeka kwa kiwango cha asidi ya uric (uric acid) kwenye damu. Asidi hii ikizidi, hutengeneza fuwele ndogo zinazojikusanya kwenye viungo, hali inayosababisha maumivu makali, uvimbe na joto kwenye viungo, hasa vidole vya miguu, magoti na vifundo. Kwa mujibu wa Dkt. Nguyen Anh Duy Tung kutoka Kliniki ya Lishe…

Read More

Kadhi Mkuu Kenya Athibitisha Kuonekana kwa Mwezi, sikukuu ya Eid-ul-Fitr leo

Global Publishers March 20, 2026 0 Comments Waislamu wa Afrika Mashariki wanatarajiwa kuadhimisha sikukuu ya Eid-ul-Fitr siku ya leo Ijumaa Machi 20, 2026  kufuatia kuonekana kwa mwezi mpevu jioni ya Alhamisi, tukio linaloashiria kumalizika kwa mwezi mtukufu wa Ramadhani. Nchini Kenya, Kaimu Kadhi Mkuu Sukyan Hassan alithibitisha kuwa mwezi huo umeonekana katika maeneo mbalimbali, huku…

Read More