Admin

Yanga yafuata winga mwingine DR Congo

KAMA unahisi Yanga imeridhika na kikosi chake cha sasa, basi umekosea kwani mabingwa hao wa kihistoria wa Ligi Kuu Bara wameshaanza kupiga hesabu za kumchukua winga mmoja wa DR Congo, huku wakichuana na Waarabu kutoka Algeria kuwania saini ya staa huyo. Iko hivi; Yanga imejikuta ikipishana mlangoni na MC Alger ya Algeria katika kuulizia saini…

Read More

Kocha Kijana wa Wanawake wa Taekwondo wa Afghanistan Alichagua Upinzani kwa Kujisalimisha kwa Taliban – Masuala ya Ulimwenguni

Mandhari ya mtaani ya mkoa wa Herat. na Chanzo cha Nje (Herat, Afghanistan) Jumatano, Machi 18, 2026 Inter Press Service HERAT, Afghanistan, Machi 18 (IPS) – Wakati Khadija Ahmadzada alipokamatwa katika jimbo la Herat nchini Afghanistan mwezi Januari mwaka huu, ilisababisha maandamano makubwa ya ndani na kimataifa. Wanaharakati wa haki za wanawake na watumiaji wa…

Read More

Maafisa Elimu Kata Wapewa Mbinu za Kusimamia Shule kwa Ufanisi

NA EMMANUEL MBATILO, BAGAMOYO WIZARA ya Elimu, Sayansi na Teknolojia kupitia Wakala wa Maendeleo ya Uongozi wa Elimu (ADEM) itaendelea kutoa fursa za mafunzo endelevu ya viongozi wa elimu wa ngazi mbalimbali na wadau wengine wa elimu ili waweze kuimarisha uongozi, usimamizi na uendeshaji wa shule kwa ajili ya utoaji wa elimu bora nchini.  Ameyasema hayo Mkurugenzi wa Elimu msingi, Abdul Maulid wakati akimwakilisha…

Read More

Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan apokea Ripoti ya Tume ya Rais ya Kutathmini Maboresho ya Mfumo wa Kodi nchini, Ikulu Jijini Dar es Salaam.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na viongozi mbalimbali mara baada ya kupokea Ripoti ya Tume ya Rais ya Kutathmini Maboresho ya Mfumo wa Kodi nchini, Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 18, Machi, 2026. Viongozi mbalimbali waliohudhuria hafla ya kupokea Ripoti ya Tume ya Rais ya Kutathmini…

Read More