Spika wa Bunge la Iran Akanusha Mazungumzo na Marekani – Video
Global Publishers March 24, 2026 0 Comments Spika wa Bunge la Iran, Mohammad Bagher Ghalibaf Spika wa Bunge la Iran, Mohammad Bagher Ghalibaf, amekanusha vikali madai ya kuwepo kwa mazungumzo yoyote kati ya Iran na Marekani, akipinga taarifa zilizosambazwa na vyombo vya habari vya Israel kwamba yeye ndiye anayehusika katika mazungumzo hayo ya siri na…