BASATA YATOA WITO WASANII KUJIRASIMISHA MTANDAONI, TAMASHA LA 17 LA MUZIKI WA CHIGOGO KUFANYIKA JULAI CHAMWINO

….. Na Carlos Claudio, Chamwino Dodoma. Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) limetoa wito kwa wasanii wote nchini kujirasimisha rasmi ili waweze kutambulika kisheria na kunufaika na fursa mbalimbali zinazotolewa na serikali, likisisitiza kuwa mfumo wa usajili unapatikana mtandaoni kupitia kiungo cha sanaa.go.tz. Wito huo umetolewa leo Februari 27, 2026 katika wilaya ya Chamwino, mkoani…

Read More

Gachi Amuomba Radhi Yammi Baada ya Kuzua Taharuki Mitandaoni – Video

Global Publishers February 26, 2026 0 Comments Msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Fatma Omary maarufu kama Gachi Msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Fatma Omary maarufu kama Gachi, amejitokeza hadharani kumuomba radhi msanii mwenzake Yammi kufuatia tuhuma alizozitoa mitandaoni hivi karibuni akimtuhumu kumchukulia mwanaume wake. Katika hatua iliyoonekana kuwa ya kutafuta suluhu na kurejesha…

Read More