TOZO MPYA ZA BANDARI ZIFUTWE KABISA-TACAS

……… Wafanyabiashara na wadau wanaotumia Bandari ya Dar es Salaam wameiomba Serikali kuondoa kabisa tozo mpya za maboresho ya miundombinu ya bandari zilizotangazwa hivi , wakidai kuwa zinaweza kuongeza gharama za biashara na hatimaye kuumiza walaji wa mwisho. Wadau hao wameeleza kuwa licha ya uamuzi wa mamlaka ya Bandari kusitisha kwa muda tozo hizo hadi…

Read More

TMA yatoa tahadhari ya mvua kubwa, mafuriko

Dar es Salaam. Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imeonya kuwa mvua kubwa zinazoendelea kunyesha katika baadhi ya maeneo ya nchi zinaweza kusababisha mafuriko, kuharibu miundombinu na kuathiri shughuli za uvuvi katika maeneo ya pwani. Taarifa iliyotolewa na TMA imetaja maeneo yanayotarajiwa kuathirika ni pamoja na mikoa ya Lindi, Mtwara, Pwani pamoja na visiwa…

Read More

Mradi wa Sh3.1 bilioni kuwasha umeme vitongoji sita ukanda wa Ziwa Nyasa

Ludewa. Wakala wa Nishati Vijijini (Rea) imetoa Sh3.1 bilioni kutekeleza  mradi wa kusambaza umeme katika vitongoji sita vilivyopo ukanda wa Ziwa Nyasa, wilayani Ludewa mkoani Njombe. Mradi huo ulianza kutekelezwa Julai 13, mwaka 2025 na unatarajiwa kukamilika Aprili 13, 2026, ukilenga kuwapatia huduma ya umeme wateja wa awali takribani 160. Akizungumza katika ziara ya kutembelea…

Read More