Video: Mtumbwi Wapinduka na Kuua Watumishi 6, Miili 3 Haijapatikana Kigoma
Bakari Mahundu March 13, 2026 0 Comments Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Balozi Simon Sirro amrmetoa pole kwa uongozi wa Wilaya ya Kigoma mkoani hapa kufuatia tukio la vifo vya watumishi sita wa Idara ya Afya waliofariki dunia kufuatia chombo walichokuwa wakisafiria kukumbwa na dhoruba kisha kuzama katika Ziwa Tanganyika asubuhi ya leo Machi 13,…