Tanzania yatumia Sh23 bilioni kuagiza maziwa nje ya nchi

Morogoro. Wakati Tanzania ikijivunia kuwa na idadi kubwa ya mifugo, bado inalazimika kutumia zaidi ya Sh23 bilioni kila mwaka kuagiza wastani wa lita milioni 11.6 za maziwa kutoka nje ya nchi. Hali hiyo inayochangiwa na changamoto za ubora ambapo miundombinu na elimu kwa wadau wa sekta maziwa ni vikwazo vinavyosababisha maziwa kukosa ubora. Akizungumza katika…

Read More

Serikali yaonya watakaoficha mafuta kusubiri yapande bei

Dodoma. Serikali imesema haitawavumilia wafanyabiashara wa mafuta ya vyombo vya moto ikiwamo petroli, watakaotumia mgogoro unaoendelea Mashariki ya Kati, kuficha bidhaa hiyo wakisubiri ipande bei, ikisisitiza vitendo hivyo vinahatarisha upatikanaji wa nishati kwa wananchi. Sambamba na hilo, imeagiza kuundwa kwa kamati maalumu ya kufuatilia mwenendo wa uingizaji wa mafuta nchini, kuhakikisha yanafika kwa wakati kwa…

Read More

SERIKALI YATANGAZA MPANGO WA KUONGEZA NDEGE NANE KWA ATCL KUIMARISHA USAFIRI WA ANGA KUCHOCHEA UCHUMI WA TAIFA

SERIKALI imetangaza mpango wa kuongeza ndege nane kwa Shirika la Ndege Tanzania (ATCL), hatua itakayofikisha jumla ya ndege 24 ifikapo mwaka 2030, ikiwa ni sehemu ya juhudi za kuimarisha usafiri wa anga na kuchochea ukuaji wa uchumi wa Taifa. Taarifa hiyo imetolewa na Naibu Waziri wa Uchukuzi, David Kihenzile, kwa niaba ya Waziri wa Uchukuzi,…

Read More

HELP TO HELP YAWAWEZESHA WASICHANA KUPENYA SOKO LA AJIRA

NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAM TAASISI ya Help to Help East Africa imeendesha mafunzo ya siku 14 kwa wasichana 150 kutoka mikoa 20 nchini, ikiwa na lengo la kuwawezesha kupata ujuzi wa matumizi ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) ili kuongeza ushindani wao katika soko la ajira. Mafunzo hayo yanawalenga zaidi wasichana waliopo…

Read More

Dosari za kisheria zamnusuru kifungo cha miaka 30 jela

Arusha. Mahakama ya Rufani imebatilisha hukumu ya kifungo cha miaka 30 jela alichokuwa amehukumiwa Lemindea Lesira baada ya kukutwa na kosa la ubakaji. Makosa mengine aliyokutwa nayo na hatia na kuhukumiwa adhabu ya kifungo cha miaka mitano na faini kwa mwathirika wa tukio hilo ni kusababisha madhara makubwa kinyume na kifungu cha 225 na kosa…

Read More