Haji Manara Azungumzia Mchango wa Ssebo Kwenye Tasnia ya Habari ‘Tumepoteza Mtu Muhimu’ – Video

Global Publishers March 13, 2026 0 Comments Diwani wa Kata ya Kariakoo, Haji Manara, amezungumzia kuhusu marehemu Denis Busulwa almaarufu Ssebo, akimwelezea kama mtu aliyekuwa na moyo mkubwa wa kusaidia watu na aliyependa kuwa karibu na jamii enzi za uhai wake. Manara amesema Ssebo alikuwa mtu mwenye upendo na mshikamano mkubwa, ambaye alijenga urafiki na…

Read More

Sababu 10 Zinazoua Biashara Mpya Kabla Hazijafika Mwaka Mmoja

Kuanza biashara ni hatua ya ujasiri inayohitaji ndoto, mtaji na mipango. Hata hivyo, takwimu na uhalisia vinaonyesha kuwa zaidi ya nusu ya biashara mpya hufa ndani ya miaka miwili ya kwanza. Swali muhimu ni: Kwa nini watu wengi wanaanguka hata baada ya kuanzisha biashara waliyoamini inaweza kuwapa mafanikio? Makala hii inachambua chanzo cha changamoto hizo—ikiungwa…

Read More

Fahamu Maajabu ya Toyota Prius na Namna Inavyotumia Teknolojia ya Umeme (EV Mode) – Video

Toyota Prius imekuwa mfano wa ubunifu katika sekta ya magari duniani kutokana na mfumo wake wa Hybrid Synergy Drive, unaounganisha injini ya petrol na motor ya umeme. Gari hili limejulikana kwa kutumia mafuta kidogo, utulivu barabarani, na teknolojia rafiki kwa mazingira, jambo ambalo limeifanya kuwa chaguo la kwanza kwa watu wanaotaka usafiri wa kisasa, salama,…

Read More

MWENYEKITI WA KAMATI YA TEITI ATEMBELEA MGODI WA DHAHABU WA GEITA, AAHIDI USHIRIKIANO NA WADAU WOTE

📍Geita. Mwenyekiti wa Kamati ya TEITI, Balozi Wilson Masilingi, ametembelea Mgodi wa Dhahabu wa Geita Gold Mining Limited akiambatana na Menejimenti ya TEITI, kwa lengo la kujitambulisha na kufanya mazungumzo na menejimenti ya mgodi huo. Akizungumza wakati wa ziara hiyo, Balozi Masilingi alisema ziara hiyo imelenga kujenga na kuimarisha ushirikiano kati ya TEITI na wadau…

Read More

Anayedaiwa kutapeli watalii kupitia mitandao atiwa mbaroni 

Moshi. Jeshi la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro linamshikilia mkazi wa KDC, Kata ya Mbokomu, Wilaya ya Moshi, mkoani Kilimanjaro, Musa Mushi (40), kwa tuhuma za kujihusisha na udanganyifu wa kutapeli watalii wanaoingia nchini wakiwamo wanaokuja kutalii kwenye Mlima Kilimanjaro. Taarifa ya kukamatwa kwa mtuhumiwa huyo, imetolewa leo Machi 12, 2026 na Kamanda wa Polisi  Mkoa…

Read More

Ripoti zabaini kasoro tano uhamaji Ngorongoro

Dar/Dodoma. Wakati tume zilizoundwa na Rais Samia Suluhu Hassan zikibainisha sababu za kukwama kwa mpango wa kuwahamisha wakazi wa ndani ya Hifadhi ya Ngorongoro, Serikali imesema itaendelea na mpango huo lakini kwa mfumo mpya unaosisitiza hiari ya wananchi, ushirikishwaji mpana wa jamii na marekebisho ya kasoro zilizojitokeza awali. Hayo yamebainishwa leo Alhamisi Machi 12, 2026…

Read More