Stanbic Yaandaa Futari Kuimarisha Mahusiano na Wadau

Benki ya Stanbic imeandaa futari maalum iliyofanyika jijini Dar es Salaam jana, ikiwa ni sehemu ya kushiriki baraka za mwezi mtukufu wa Ramadan pamoja na kuimarisha mahusiano na wadau wake. Tukio hilo liliwakutanisha viongozi wa dini, viongozi wa benki pamoja na wateja katika mazingira ya mshikamano na tafakari ya maadili ya kijamii yanayohimizwa katika kipindi…

Read More

Costech yaja na ‘Tanzania Ventures Lab’ kuwezesha bunifu, biashara changa

Dar es Salaam. Katika mwendelezo wa kuhakikisha bunifu na biashara changa za vijana zinaendelezwa, Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (Costech) kwa kushirikiana na Sahara Ventures imekuja na programu ya kitaifa inayolenga kuimarisha mfumo wa ubunifu nchini Tanzania. Pia kuharakisha ukuaji wa biashara changa haswa zinazofanywa na vijana ili waweze kukua zaidi. Programu hiyo…

Read More

TBS YATOA LESENI 129 KWA WAZALISHAJI KANDA YA MAGHARIBI

SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) Kanda ya Magharibi imefanikiwa kutoa leseni 129 kwa wazalishaji wa bidhaa katika kanda hiyo, huku leseni 99 kati ya hizo zikitolewa kwa wajasiriamali wadogo. Akizungumza na waandishi wa habari kuhusu mafanikio ya TBS katika sekta ya viwanda, Meneja wa TBS wa Kanda hiyo, Bw. Hamisi Seleleko amesema hatua hiyo inaonesha…

Read More