Fahamu Mambo Muhimu Yasiyotakiwa Kupuuzwa Katika Gari Lako

Global Publishers March 12, 2026 0 Comments Kila mmiliki wa gari anapaswa kuwa makini na alama ndogo ndogo zinazoweza kuashiria matatizo makubwa yanayoweza kusababisha ajali au gharama kubwa za matengenezo. Kupuuza tatizo dogo leo inaweza kumaanisha tatizo kubwa kesho. Hapa kuna mambo muhimu yasiyotakiwa kupuuzwa kwenye gari lako: 1️⃣ Breki – Moyo wa UsalamaBreki ni…

Read More

Mvua ilivyoua watano, kukata mawasiliano

Mikoani. Mvua zinazoendelea kunyesha katika baadhi ya mikoa nchini, zimesababisha vifo vya watu watano, uharibifu wa miundombinu ya majengo, barabara pamoja na kuathiri mazao. Pia, zimesababisha upotevu wa muda kwa wananchi, wanafunzi kukosa masomo na kupanda kwa gharama za usafiri katika maeneo mbalimbali yanayoendelea kukumbwa na mvua hizo. Mkoani Dodoma, mvua iliyonyesha usiku wa kuamkia…

Read More

Rea yakaribisha sekta binafsi kuwekeza miradi ya umeme vijijini

Njombe. Wakala wa Nishati ya Umeme Vijijini (Rea) umewaalika wadau wa sekta binafsi kutumia fursa zilizopo katika maeneo mbalimbali nchini kuwekeza katika miradi ya uzalishaji wa umeme vijijini. Wakala huo umeeleza kuwa kuna fursa nyingi hasa katika mikoa ya Njombe, Ruvuma na Iringa ambako kuna vyanzo vingi vya maji vinavyoweza kutumika kuzalisha umeme hatua itakayosaidia…

Read More

Wanaojifungua wahimizwa kutumia kikamilifu likizo ya siku 90

Dar es Salaam. Wanaojifungua  nchini wamehimizwa kutumia kikamilifu muda wa mapumziko wa miezi mitatu baada ya kujifungua ili waweze kuwa karibu na watoto wao katika kipindi muhimu cha mwanzo wa maisha. Wito huo umetolewa wakati kukibainika baadhi ya wanawake, hasa walioajiriwa katika sekta binafsi na wanaojiajiri, wamekuwa wakirudi katika shughuli zao za kazi mapema kabla…

Read More

Rais Samia ateta na mwakilishi UN

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan, amesema Tanzania imejizatiti kuhakikisha mchakato wa kufuatilia matukio ya maandamano yaliyozaa vurugu Oktoba 29, 2025 unafanyika kwa kuzingatia utawala wa sheria, uwajibikaji na haki. Amesisitiza hayo yanafanyika huku nchi ikiendelea kulinda amani, umoja wa kitaifa na utulivu wa kisiasa ambao umekuwa msingi wa wakati wote wa maendeleo ya…

Read More

Chunya yaweka mikakati kuongeza uzalishaji wa ufuta

Chunya. Halmashauri ya Wilaya ya Chunya mkoani Mbeya, imeweka mikakati madhubuti ya kuongeza uzalishaji wa zao la ufuta kutoka kilo milioni 2.4 zilizozalishwa msimu uliopita hadi kufikia kilo milioni 6, katika msimu wa kilimo wa 2026/2027. Hatua hiyo imechochewa na uamuzi wa halmashauri kugawa tani 6,000 za mbegu bora za ufuta kwa wakulima kupitia Chama…

Read More