Ilichokisema CCM mbele ya mwakilishi wa UN

Dar es Salaam. Chama cha Mapinduzi (CCM) kimesema kitaendeleza dhamira yake ya  muda mrefu wa kuheshimu utawala wa sheria, kidemokrasia na ushiriki wa kisiasa kwa njia za amani. Hayo yamesemwa na Katibu Mkuu wa CCM, Dk Asha-Rose Migiro wakati akikiwakilisha chama hicho katika mazungumzo na Balozi Parfait Onanga-Anyanga, Mwakilishi Maalumu wa Katibu Mkuu wa Umoja…

Read More

Kihongosi Akagua Mradi wa Soko la Milioni 577 Buchosa

Global Publishers March 11, 2026 0 Comments Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Cha Cha Mapinduzi (CCM), Kenani Kihongosi akiongea jambo akiwa na Mbunge wa Buchosa, Eric Shigongo (Mwenye shati la Kitenge). Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Cha Cha Mapinduzi (CCM), Kenani Kihongosi amesema uwekezaji katika miundombinu ya masoko ni…

Read More

Kanuni kudhibiti maonyesho ya biashara yanayofanyika holela

Dar es Salaam. Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (Tantrade) imekuja na kanuni maalumu ambazo zinalenga kuboresha mazingira ya ufanyaji biashara na kudhibiti baadhi ya vitendo vinavyoumiza wafanyabiashara ikiwemo kuandaa maonyesho yasiyoweza kuleta tija. Hayo yameelezwa katika kikao cha pamoja na wadau kilichoandaliwa na Tantrade kwa ajili ya kujadili kanuni hizo kilichofanyika leo Machi 11,…

Read More

WAZIRI MKUU AONGOZA KIKAO CHA KUJADILI MAPENDEKEZO YA YA KUFANYA MABORESHO YA SHERIA YA MAPATO YA BAADHI TA MIFUKO

Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba leo Machi 11, 2026 ameongoza Kikao cha kujadili Mapendekezo ya kufanya Maboresho ya Sheria ya Mapato ya baadhi ya Mifuko kilichofanyika kwenye ukumbi wa Waziri Mkuu, Bungeni jijini Dodoma, Machi 11, 2026. Baadhi ya viongozi walioshiriki katika Kikao hicho ni pamoja na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera,…

Read More