MAKAMU WA RAIS DKT .NCHIMBI ATOA WITO KWA WIZARA NA SEKTA ZA MAZINGIRA KUFANYA KAZI KWA USHIRIKIANO

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi ametoa wito kwa Wizara zinahusiana na Sekta ya Mazingira, kufanya kazi kwa ushirikiano ili kuwa na mpango wa pamoja utakaowezesha uhifadhi endelevu wa mazingira. Makamu wa Rais ametoa wito huo, wakati akifanya mazungumzo na Waziri wa Maliasili na Utalii Dkt. Ashatu Kijaji,…

Read More

MBUNGE CHATO AWANANGA WALIOSHANGILIA KUKAMATWA NA TAKUKURU

……… CHATO MBUNGE wa Jimbo la Chato Kaskazini, Cornel Magembe, amewananga baadhi ya wananchi walioshangilia kukamatwa kwake na Taasisi ya kuzuia na Kupambana na rushwa(Takukuru) kisha kufikishwa mahakamani kwa makosa ya rushwa. Hata hivyo amesema yupo tayali kuendelea kupambana na kesi hiyo wala hawezi kutetereshwa na nia ovu ya baadhi ya watu wenye lengo la…

Read More

WANAWAKE WAHAMASISHWA KUJITHAMINI NA KUJISHUGHULISHA NA SHUGHULI ZA MAENDELEO

Mwenyekiti wa Chama cha Umoja wa Mwanamke wa Thamani, Hajira Bitebo, amewahimiza wanawake kujishughulisha na shughuli za maendeleo na kufanya kazi kwa bidii badala ya kubweteka kukaa nyumbani bila kujituma. Bitebo amesema mwanamke anapofanya kazi na kujitegemea kiuchumi huweza kusaidia familia na kuchangia maendeleo ya jamii kwa ujumla. Kwa upande wake, Katibu wa chama hicho,…

Read More

ACT – Wazalendo yafikisha kilio cha demokrasia UN

Dar es Salaam. Kiongozi wa ACT-Wazalendo, Dorothy Semu, ameeleza wasiwasi wake kuhusu mwenendo wa kisiasa uliojitokeza wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu uliofanyika nchini Oktoba 29, mwaka jana. Katika mazungumzo hayo na Mwakilishi wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa katika Umoja wa Afrika, Parfait Onanga-Anyanga, yaliyofanyika leo Jumanne Machi 10, 2026 jijini Dar es…

Read More

Kanali Randrianirina Avunja Serikali Nzima Madagascar, Waziri Mkuu Aondolewa

Global Publishers March 10, 2026 0 Comments Kiongozi wa kijeshi wa Madagascar, Kanali Michael Randrianirina, amevunja serikali nzima kwa kumfuta kazi Waziri Mkuu pamoja na mawaziri wote wa baraza la mawaziri katika hatua ya kushtukiza. Taarifa kutoka kwa msemaji wake imesema serikali imeacha rasmi kutekeleza majukumu yake, huku Randrianirina akitarajiwa kumteua Waziri Mkuu mpya na…

Read More

Sekela Apongeza Uongozi wa Rais Samia Katika Kuinua Wanawake

Na Pamela mollel,Arusha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amepongezwa kwa juhudi zake za kuhamasisha wanawake kushiriki kikamilifu katika nyanja mbalimbali za maendeleo, hususan katika sekta za utalii na uhifadhi, hatua inayochangia kuongeza usawa wa kijinsia na kuwajengea wanawake ujasiri wa kushika nafasi za uongozi. Pongezi hizo zimetolewa na Kamishna Msaidizi…

Read More