AG awataka watumishi wa umma kulinda taswira ya Serikali

Dar es Salaam. Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Hamza Johari, amewataka watumishi wa umma kuepuka vitendo vinavyoathiri taswira ya Serikali na utumishi wa umma. Amewataka watumishi hao kuhakikisha wanawajibika ipasavyo kama kanuni na taratibu za utumishi wa umma zinavyowaelekeza. Johari ametoa wito huo leo Machi 6, 2026, wakati akifungua kikao cha Baraza la Wafanyakazi wa Ofisi…

Read More

Ufugaji watajwa chanzo cha magugu maji Ziwa Victoria

Dodoma. Bodi ya Maji ya Bonde la Ziwa Victoria imeeleza kuwa shughuli za kibinadamu, hususan ufugaji, ndicho chanzo kikuu cha magugu maji katika Ziwa Victoria. Kauli hiyo imetolewa leo Ijumaa, Machi 6, 2026, na Mkurugenzi wa Bodi ya Maji wa Bonde la Ziwa Victoria, Dk Renatus Shinhu, wakati akielezea shughuli zinazofanyika katika bonde hilo. Dk…

Read More

Serikali yataja magari ya umeme muarobaini wa bei ya mafuta

Dar es Salaam. Wakati gharama za mafuta zikitarajiwa kupanda kutokana na vita inayoendelea Mashariki ya Kati, Serikali imesema ujio wa magari ya umeme utaleta unafuu wa maisha kwa Watanzania. Mzozo wa vita kati ya Marekani, Israel, na Iran umesababisha kupanda kwa bei ya mafuta duniani, ukizingatia kwamba Mashariki ya Kati inachangia asilimia 20 ya mafuta…

Read More

Shahidi aeleza alivyokamata vielelezo kesi ya Malisa

Moshi. Shahidi wa pili wa upande wa Jamhuri katika kesi ya makosa ya kimtandao inayomkabili Mchungaji Godfrey Malisa, ameieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Moshi jinsi alivyoenda kupekua nyumbani kwa Malisa na kukusanya vielelezo vinne ambavyo ni simu, kompyuta (laptop) mbili pamoja na chaja moja ya laptop. Shahidi huyo, Mkaguzi wa Polisi, Nickson Mwamnyasi wa Kituo…

Read More

MAKANDARASI WALIA NA SHERIA YA MALIPO

 CHAMA cha Umoja wa Makandarasi na Watoa Huduma Shirikishi Tanzania (TUCASA) kimeiomba Serikali kuanzisha sheria maalum ya malipo katika sekta ya ujenzi ili kusaidia kuimarisha mazingira ya kazi kwa makandarasi wa ndani na kuhakikisha wanapata malipo kwa wakati wanapotekeleza miradi ya maendeleo ya umma. Chama hicho kimesema kuwa uwepo wa sheria hiyo utasaidia kuweka utaratibu…

Read More

TTB YAIONGOZA TANZANIA KUNG’ARA KATIKA MAONESHO MAKUBWA YA UTALII DUNIANI

Na Mwandishi Wetu  USHIRIKIwa Tanzania katika maonesho makubwa ya utalii duniani ITB Berlin nchini Ujerumani, umeelezwa kuwa wa mafanikio makubwa, huku ukitoa fursa pana ya kuitangaza nchi kama kitovu cha utalii barani Afrika na kufungua milango mipya ya biashara na uwekezaji katika sekta hiyo muhimu ya uchumi. Mafanikio hayo  yanatokana maonesho ambayo yanafanyika kila mwaka…

Read More