TBA YASHIRIKI KLINIKI YA KUTATUA KERO ZA WANANCHI DODOMA
Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) Mkoa wa Dodoma unashiriki katika Kliniki maalum ya kutatua kero na changamoto mbalimbali za wananchi iliyoandaliwa na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, inayofanyika tarehe 3 hadi 6 Machi, 2026 katika viwanja vya Nyerere Square jijini Dodoma. Kupitia kliniki hiyo, TBA inakutana na wateja wake ambao ni wapangaji…