Sportpesa Yawataka Wanamichezo Kushiriki Mchezo wa Kubahatisha

Hamza Athman, aliyejinyakulia kitita cha TZS 237,897,560 kwenye Midweek Jackpot. Na Neema Adrian Gpl Kampuni ya michezo ya kubahatisha ya Tanzania imewaomba wapenzi wamichezo hiyo kushiriki mchezo wa kubahatisha kwani inaendelea kubadilisha maisha kupitia Jackpot, Kasino na Aviator. Kampuni hiyo imesema wapenzi wa michezo ya kubahatisha nchini Tanzania, SportPesa Tanzania ni zaidi ya jukwaa la…

Read More