Ridhiwani: Tumieni Ramadhani kuombea amani ya Taifa
Dar es Salaam. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Utumishi na Utawala Bora), Ridhiwani Kikwete amewataka Watanzania kuutumia mwezi Mtukufu wa Ramadhani kuendelea kuiombea na kudumisha amani ya Taifa. Amesema maendeleo ya kiuchumi hayawezi kufikiwa pasipo kuwepo amani na Tanzania imefanikiwa kuwa na mazingira ya amani na kuwa moja ya mataifa yanayovutia uwekezaji. Waziri Ridhiwani…