Kihongosi aanza ziara Shinyanga, ataja mambo matatu

Shinyanga. Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Kenani Kihongosi ametaja mambo matatu atakayoyafanya katika ziara yake ya siku nne mkoani Shinyanga iliyoanza leo Jumatano, Machi 4, 2026. Mambo hayo ni uhai wa chama, kukagua miradi ya maendeleo ambayo Serikali imepeleka fedha na jambo jingine ni kusikiliza changamoto za wananchi. …

Read More

Kutolipwa michango EAC, mawaziri wapewa zigo kulitatua

Arusha. Baraza la Mawaziri la Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), limepewa jukumu la kupitia upya mfumo wa michango ya kifedha ya nchi wanachama na kupendekeza upya makadirio inayopaswa kulipwa itakayolingana na uwezo halisi wa kiuchumi wa kila nchi. Hatua hiyo imekuja kufuatia kuchelewa mara kwa mara kwa baadhi ya nchi kuwasilisha michango yao ya uanachama,…

Read More