Mtaalamu wa Lishe Afichua Matunda Yasilofaa Kula Asubuhi

Mtaalamu wa lishe, Nichola Ludlam-Raine, amefichua aina ya matunda ambayo hayapendekezwi kuliwa mara kwa mara wakati wa kifungua kinywa, akieleza kuwa baadhi ya matunda maarufu yana kiwango kikubwa cha sukari asilia kuliko watu wanavyofahamu. Akizungumza na The Telegraph, Ludlam-Raine alifanya tathmini ya matunda 18 yanayopendwa nchini Uingereza, akiyapima kulingana na virutubisho kama vitamini na madini,…

Read More

IPTL YAPATA USHINDI: MWENYEKITI ASAFISHWA NA POLISI

  JESHI la Polisi Tanzania limetoa cheti cha kumsafisha Mwenyekiti wa Kampuni ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL), Harbinder Singh Sethi dhidi ya uhalifu katika kumbukumbu zao. Cheti cha Kibali cha Polisi chenye kumbukumbu namba FB/FP/G.4/2026/VOL.III/49198, kimetolewa na Ofisi ya  Uchunguzi wa alama za vidole na Jeshi la Polisi  jijini Dar es Salaam. Cheti hicho…

Read More