Arsenal Yakosa Tena Ubingwa, Guardiola Aandika Historia Atwaa Carabao
Global Publishers March 23, 2026 0 Comments Manchester City wameendelea kuthibitisha ubora wao katika soka la England baada ya kutwaa ubingwa wa Carabao Cup kwa mara ya tisa kihistoria, kufuatia ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Arsenal katika dimba la Wembley Stadium. Ubingwa huo unaifanya City kuongeza rekodi yao ya mafanikio katika michuano hiyo, wakiongeza…