Kwa Taarifa Zaidi Ingia Meridianbet Sport Portal

MERIDIANBET Sportal Portal?, hili ni jukwaa ambalo Meridianbet hulitumia kwaajili ya kuwahabarisha, kuwaburudisha wapenzi wa michezo na Kasino kutoka sehemu mbalimbali huku lengo likiwa ni kuwafanya wapenzi na mashabiki wa soka kujua mambo mbalimbali yanayoendelea ya kimichezo, kasino, usajili, matokeo, na kupata fursa za kubashiri mechi mbalimbali. Kupitia Kampuni hii kubwa ya ubashiri Tanzania, Meridianbet…

Read More

MADIWANI BIHARAMULO WAPITISHA BAJETI YA BILIONI 54.9

…….. BIHARAMULO  BARAZA la Madiwani wa halmashauri ya wilaya ya Biharamulo mkoani Kagera limepitisha mapendekezo ya mpango na bajeti ya mwaka 2026/27 kiasi cha shilingi 54,978,707,300 kwa lengo la kuchochea maendeleo na ustawi wa wananchi wake. Akiwasilisha bajeti hiyo kwa niaba ya Mkurugenzi mtendaji wa halmashauri hiyo, Innocent Mkandara, Mweka hazina wa halmashauri ya Biharamulo,…

Read More

Mfuko wa jimbo usiwatoe ngeu, sheria ipo wazi

Kuna misuguano ya chini kwa chini inayoendelea Tanzania Bara, kuhusu nani hasa anapaswa kuteua wajumbe wa kamati ya Mfuko wa Kuchochea Maendeleo ya Jimbo huku baadhi ya wabunge wakiendesha mfuko huo kama mali yao binafsi. Lakini ukisoma kifungu cha 10 cha Sheria ya Mfuko wa Jimbo kama ilivyofanyiwa marejeo mwaka 2020 na kuchapwa katika Gazeti…

Read More

SUNI BHARTI MITTAL ATUNUKIWA TUZO YA MAISHA YA GSMA KWA MAGEUZI YA SEKTA YA MAWASILIANO DUNIANI.

New Delhi, Machi 2, 2026: GSMA imemtunuku Tuzo ya Maisha (Lifetime Achievement Award) Sunil Bharti Mittal, Mwanzilishi na Mwenyekiti wa Bharti Enterprises, kwa kutambua mchango wake mkubwa katika kubadili na kuunda upya taswira ya mawasiliano ya simu duniani pamoja na kupanua wigo wa upatikanaji wa huduma za mawasiliano kwa waendeshaji, serikali, biashara na mabilioni ya…

Read More

Chalamila avalia njuga matukio ya utapeli Dar

Dar es Salaam. Kama wewe sio mwenyeji wa Mkoa wa Dar es Salaam na unataka kununua ardhi, magari au kuchukua mkopo wa fedha, chukua tahadhari, kwani Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, ametaja maeneo hayo kuongoza kwa matukio ya utapeli. Chalamila amesema waathirika wakubwa wa migogoro hiyo ya ardhi mkoani humo ni…

Read More

Mapinduzi ya Kahawa Mbinga Yawanufaisha Wakulima, Wawapongeza Wadau huku Wakiahidi Uzalishaji zaidi.

 Wakulima wa zao la kahawa wilayani Mbinga, mkoani Ruvuma wameonyesha matumaini makubwa na jitihada pamoja na mikakati ya uboreshaji wa kilimo cha zao hilo wilayani humo huku wakiwashukuru wadau mbalimbali likiwemo serikali na shirika lisilo la kiserikali la Hanns R. Neumann Stiftung (HRNS) kwa jitihada zake hususani kwenye utoaji wa mafunzo ya mbinu bora za…

Read More