Waziri Mkuu Azindua Stendi ya Mabasi ya Dkt. Samia Hanang

WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amezindua Stendi ya Mabasi ya Dkt. Samia Suluhu Hassan iliyopo Katesh, wilayani Hanang, mkoani Manyara ambayo imejengwa kwa gharama ya sh. bilioni 5.69. Stendi hiyo ambayo ujenzi wake umekamilika na imeanza kutumika, imelenga kuboresha utoaji huduma za usafiri na usafirishaji. Miundombinu iliyopo ni pamoja na jengo kuu la kituo cha…

Read More

Asia Masimba anayewaongoza wanawake 400 wachimbaji madini

Geita. Ujasiri na uthubutu wa Asia Masimba ni simulizi ya kuvunja miiko iliyodumu kwa miongo kadhaa katika sekta ya madini mkoani Geita. Katika mazingira ambayo wanawake walionekana kuwa mkosi machimboni, Asia alithubutu kuingia duarani, akakubali kutukanwa, kufukuzwa na hata kucharazwa viboko, lakini hakurudi nyuma. Kwa miaka mitano mfululizo alipambana na imani potofu zilizotamalaki katika jamii…

Read More

BRECOL Yatangaza Nafasi ya Quantity Surveyor kwa Miradi ya Majengo

Global Publishers March 2, 2026 0 Comments 1️⃣ Quantity Surveyor (Civil Building Project) Minimum Qualifications: Bachelor of Science in Building, Quantity Surveying, Construction Management, or related field Minimum of 2 years proven experience in civil building projects Key Responsibilities: Prepare Bills of Quantities (BOQ), cost estimates, and tender documents Conduct cost analysis and budget control…

Read More

Ambulance lagongana na Lori, mgonjwa afariki

Na Mashaka Mhando, Tanga JESHI la Polisi Mkoa wa Tanga linafanya uchunguzi wa ajali mbaya ya barabarani iliyosababisha kifo cha mgonjwa mmoja na kujeruhi watu wengine wanne, baada ya gari la wagonjwa (Ambulance) kugongana uso kwa uso na lori la mizigo. Tukio hilo limetokea leo Machi 1, 2026, majira ya saa 6:10 usiku katika eneo…

Read More

Rais Mwinyi ahimiza amani na mshikamano nchini

Dar es Salaam. Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Ali Mwinyi, amewataka Watanzania kudumisha amani, utulivu na mshikamano katika taifa, kwani bila amani hakuna mafanikio yanayoweza kufikiwa. Rais Mwinyi amesema hayo leo Machi mosi, 2026, katika mashindano ya kimataifa ya Quran yaliyofanyika Jijini Dar es Salaam, yaliyoandaliwa na Taasisi ya Al-Hikma, yakikutanisha washiriki 26 kutoka mataifa…

Read More