Dk Mwigulu aagiza vitendea kazi vya bodaboda na mama lishe visishikiliwe

Dar es Salaam. Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba, amezitaka halmashauri, majiji, manispaa na vyombo vyote vinavyohusika na udhibiti kuacha kuwanyanyasa wajasiriamali wadogo, wakiwemo waendesha bodaboda, bajaji na mama lishe, na badala yake waachwe wafanye shughuli zao kwa uhuru. Akijenga hoja hiyo huku akishangiliwa na wananchi, amesema iwapo mwendesha bodaboda au mama lishe atafanya kosa, anatakiwa…

Read More

Mbuni atwaa taji la ndege wa mwaka 2026 Tanzania

Arusha. Mbuni amechaguliwa kuwa ndege wa Mwaka 2026, baada ya kuibuka mshindi katika kura za kitaifa zilizoshirikisha wapenzi wa ndege nchini na kimataifa, akimrithi ‘kwezi maridadi’ (Superb Starling), aliyeshikilia taji hilo kwa mwaka 2025. Ndege huyo mkubwa zaidi duniani, ametwaa heshima hiyo baada ya kuwashinda washindani wake wanne maarufu wa uwanda wa nyasi katika kampeni…

Read More

Kilio cha madawati Shule ya msingi Ziwani chasikika

Tanga. Shule ya Msingi Ziwani, iliyopo Kata ya Pongwe jijini Tanga ambayo awali ilikuwa na madarasa mawili ya darasa la tano na sita ambayo wanafunzi walikuwa wakikaa kwenye mikeka darasani, sasa imepatiwa madawati 100 ili kukabiliana na changamoto hiyo. Mbali na shule hiyo, Halmashauri ya Jiji la Tanga imekabidhi jumla ya madawati 2,900 kwa shule…

Read More

RAIS DKT.DKT. SAMIA AKUTANA NA KUZUNGUMZA NA UJUMBE WA TAASISI YA KIMATAIFA YA KEEP A CHILD ALIVE IKULU, JIJINI DAR ES SALAAM.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Mkurugenzi Mtendaji wa Keep a Child Alive, Antonio Ruiz-Giménez Jr. na Ujumbe wake pamoja na Mkurugenzi wa Taasisi ya Doris Mollel Foundation Bi. Doris Mollel, tarehe 1 Machi, 2026 Ikulu Jijini Dar es Salaam. Pamoja na masuala mengine mazungumzo hayo yalijikita…

Read More