TAKUKURU Lindi Yaokoa Zaidi ya Shilingi Milioni 16
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa, TAKUKURU Mkoa wa Lindi, imefanikiwa kuokoa zaidi ya shilingi milioni 16 baada ya kubaini na kuziba mianya ya ubadhirifu katika miradi ya maendeleo na usimamizi wa rasilimali katika kipindi cha Oktoba hadi Disemba 2025. Kwa Mujibu wa Naibu Mkuu wa Takukuru Mkoani humo EMMA ACKIM MWASOGYE alipokuwa anazungumza…