Upelelezi kesi wizi wa gari la wagonjwa Musoma bado, kutajwa tena Machi 12
Musoma. Kesi inayowakabili watuhumiwa wanne wanaodaiwa kushiriki katika wizi wa gari la kubeba wagonjwa mali ya Halmashauri ya Manispaa ya Musoma mkoani Mara imeahirishwa hadi machi 12,2026 kutokna na upelelezi kutokamilika. Kesi hiyo ya uhujumu uchumi yenye namba 3139/2026 ilikuja leo Februari 26,2026 katika mahakama ya Hakimu Mkazi Wilaya ya Musoma ikiwa ni mara ya…