Biashara mtandao kurasmishwa Zanzibar | Mwananchi

Unguja. Serikali imesema inatambua umuhimu wa ukuaji wa biashara mtandaoni kama chachu ya maendeleo ya uchumi, upanuzi wa masoko na uongezaji wa ajira. Imesema kwa ufahamu huo, ndiyo sababu imechukua hatua za kimkakati kuhakikisha biashara hizo zinatambulika rasmi na kupewa mazingira bora ya kustawi. Miongoni mwa hatua zilizochukuliwa ni kutungwa kwa Sera ya Biashara ya…

Read More

Mbunge Kabati awarejeshea tabasamu wenye ulemavu 13

Iringa. Furaha na shangwe zimetawala katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Iringa, baada ya watu 13 wenye ulemavu kukabidhiwa viungo bandia vya miguu vilivyogharimiwa na Mbunge wa Kilolo, Ritta Kabati kupitia Taasisi ya Ritta Kabati Trust Fund. Wanufaika hao wamesema kwa muda mrefu walikwamishwa na gharama kubwa za viungo saidizi, hali iliyowafanya waendelee kuishi…

Read More

Mvua zakwamisha ujenzi wa barabara, mbunge ang’aka

Tunduru. Ujenzi wa barabara zenye urefu wa kilomita 1.7 katika Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru, mkoani Ruvuma, umeshindwa kukamilika kwa wakati kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha katika eneo hilo. Barabara zinazojengwa kwa kiwango cha lami ni kipande cha Boma–Mkwanda chenye urefu wa mita 700 na Mlingotini–Supermarket chenye urefu wa kilomita 1. Akizungumza mbele ya Mbunge…

Read More

Tathmini yabaini udhaifu wa kuhesabu kwa wanafunzi wa awali

Dodoma. Tathmini iliyofanywa na Serikali kuhusu stadi za Kusoma, Kuandika na Kuhesabu (KKK) kwa wanafunzi wa darasa la awali hadi la tatu imebaini kuwa stadi ya kuhesabu iko chini ikilinganishwa na stadi za kusoma na kuandika. Kwa mujibu wa matokeo ya tathmini hiyo, wanafunzi wengi wanafanya vizuri zaidi katika kusoma, ikifuatiwa na kuandika, huku kuhesabu…

Read More

Sababu Rita kuvunja Bodi ya Wadhamini Kanisa la Wasabato

Dar es Salaam. Wakala wa Usajili, Ufilisi na Udhamini (Rita) umeivunja Bodi ya Wadhamini ya Kanisa la Waadventista Wasabato (SDA) Tanzania, kufuatia tuhuma za ubadhirifu wa mali za kanisa na kushindwa kutekeleza majukumu yao kwa mujibu wa sheria. Akizungumza na waandishi wa habari leo Jumatano Februari 25, 2026 jijini Dar es Salaam, Mtendaji Mkuu wa…

Read More